BurundihomepageIndundi CinemaMoviesswahili

Umukinyi w’amareresi Ic’u burundi aje n’ireresi nshasha yambere mu Burundi

Muigizaji wa Filamu Burundi Maarufu kwa jina la Ic’u burundi ,kwasasa yuko kwenye maandalizi ya Kazi yake Mpya inayo kuja ivi karibuni kwa kishindo kikubwa sana ,na apa nyuma tu ameachia Kazi inaitwa LOCKDOWN Aliweza kumshirikisha msanii wa Muziki Chany Queen,Basi tulipo zungumza nae ameongea nakusema :

”Kusema Ukweli sanaa ya Burundi ni Nzuri sana pia napenda juhudi za wasanii wengine wanavyo jituma ,siku hadi siku mambo yanazidi kubadilika na kuonesha picha Nzuri sana mbeleni,pia kwa upande wangu Baada Ya kufanya Kazi ya LOCKDOWN Kwasasa nakuja na Kazi nyingine Mpya ambayo itakuja kuwa funiko na naamini mambo yatakuwa mazuri sana maana washabiki wangu nawaamini,pia wananikubali sana kwa sababu siwezi kuwaangusha,kingine niimize tu warundi wazidi kupenda vya nyumbani na Watowe Sapoti kwenye Kazi zetu ,Asanteni”. Alimaliza Ibarahim Ic’u Burundi

Ibrahim pia ni msanii anae zidi kujitengeneza kwa upande wa Filamu na kuwa kivutio kwa washabiki wake.

What's your reaction?

Related Posts

1 of 717