Lokata Pierre maarufu kama Young Pdk Producer na Director wa Filamu ambae anaishi America mwenye uraia wa Burundi Baada ya kushuka nchini ya asili mwaka 2018 aliweza kuandaa Movie na akasimama mwenyewe kama Cameraman…
Amenyoosha maelezo kuhusu watoto ambao anataka kuwa nao katika familia pamoja na kutumia ukongwe wake katika kazi zake. Vincent kigosi Ray baada ya kuulizwa kuhusu kukaa kimya kwa muda mrefu : "Mimi ni mkongwe mtu wa…
Muigizaji wa filamu nchini Burundi Sururu Jaffari maarufu kama Burundiano baada yakuwa kimya kwa mda mrefu akiendelea kutengeneza Filamu ambayo ameitengeneza nchini Tanzania pia na Burundi na ameweza kushirikisha…
Mambo yalikuwa mazuri baada ya mda mrefu sana kutangazwa kwa uzinduzi wa filamu ya Cop's Enemy iliyotengenezwa na kijana John K-ay nchini Australia pia na Tanzania kabisa watu wamejitokeza na sapoti mbali mbali…
Kijana mwenye umri mdogo sana ku waigizaji waandishi aitwae kwa jina la KAN RAY anakuja na filamu yake ambayo ameeleza Indundi Film kuwa ina istoria ya upekee na yenye mvuto kwa watu akaongeza kusema kuwa story iyo :…
Baada ya Mtayarishaji na mchezaji wa filamu nchini Burundi ahitwae HAKIZIMANA REMY maarufu kama TAMBWE, kwa sasa ameweza kuachia ShortFilm yake mpya ambayo inakuja kitofauti sana na kushangaza mashabiki wake kwa jina anayo…
Producer & Director Wise Pro ambae amesimamia movie nyingi kama QUESTION HOUSE, BURUNDIAN IN DAR, NINE SIX 96, HAKI, KAFARA na zingine nyingi baada yakudondosha wasanii wa kubwa kutoka nchini Tanzania kama Shamsa…
Baada ya kushika maamzi mapya, Mr Kisuba Charles anakuja na movie mpya "Bora Kinga". Kijana Kisuba Charles mwenye makazi yake Kinama, Bujumbura baada yakuona kuwa ameanza kutumika na makundi mengi tofauti kwa sasa…
Nyote mnakaribishwa sasa baada ya matangazo marefu kuhusu filamu ihi ya COPS ENEMY. Ni filamu kubwa ambayo haijawahitokea nchini kwetu Burundi pia na East Africa nzima pia filamu hiyo imechezwa na kijana Mrundi ahitwae John…
Baada ya Bekiss kumaliza masomo yake kipindi cha mda hajapata kazi Mama yake alimsaidia kupata kazi katika kampuni moja. Baada yakupata kazi katika kampuni ile Bekiss alijikuta akipendana na Tricia mtoto wakike wa familia ya…
Welcome, Login to your account.
Welcome, Create your new account
A password will be e-mailed to you.