Mtayarishaji wa Filamu nchini Burundi lea jina la Willy anazidi kupambana Filamu Ya Burundi kwa Utafauti Mkubwa sana kabisa ,Apo Mwanzo alianza kuwasaidia vijana waigizaji mkoani Rumonge na kuweza kuwasaidia kuwatolea Filamu…
Nyota wa Music wa Buja Flever pia na muigizaji wa Filamu nchini Burundi Lolilo kupatwa na kilio na kuondokewa na Baba yake Mzazi, hapo ni baada ya siku chache baba yake mdogo kuaga dunia ambae ni mdogo wa baba yake Lolilo…
Company nzima la Jay C Production wanakujia na kazi kubwa sana ambayo ni ya episode, Jay C Production ni company ya uzalishaji wa filamu inchini Burundi na inazidi kufanya vizuri siku kwa siku, na kuleta mabadiliko makubwa…
Muigizaji na muhariri wa filamu inchini Burundi, kijana ajulikanae kwa jina la Kube Drama anazidi kufanya vizuri kwa upande wa uchezaji ,pia ni editor mzuri wa filamu. Kube Drama amefanikisha kutengeneza filamu na inchi…
Muigizaji wa Filamu nchini Australia pia mwenye Ukabila wa kiburundi aitwaye John -Key, Anazidi Kufanya vizuri zaidi nchini apo nakuweka kupeperusha Bendera ya Burundi kimataifa ,kupitia Ukurasa wake wa Facebook kijana uyo…
Muigizaji wa Filamu inchini Burundi ajulikanae kwa jina la HAKIZIMANA REMY Maarufu kama Tambwe Remy ,Nikijana mwenye Bidii sana kwenye Tasnia ya Filamu Burundi na anazidi kupigania kuakikisha anatangaza Filamu za nyumbani,…
Muimbaji wa Music kwa jina la Lolilo ambae anazidi kujituma siku kwa siku na kazi zake zinazidi kutamba nchini kwetu Burundi ,na pia tukirudi nyuma Lolilo ni msanii ambae anastaili eshima yake ata kuna watu ambao bado…
Muigizaji wa Filamu nchini Burundi maarufu kama Fexine Fanny ambae anajituma sana kwenye kazi zake za filamu nchini kwetu Burundi ,hpo ni baada yake kuzungumza mengi sana kuhusu kuwa mbunifu wa hali ya juu kwenye tasnia ya…
Msanii wa Filamu nchini Burundi Shemsa Claudine ,ambae ni mpya kwenye kizazi cha filamu Burundi ,hapo ni baada ya mda mrefu sana kukaa na kufikiria ataanza aje filamu ila alikuwa anapendelea sana afikie kuwa muigizaji tena…
Muigizaji wa Filamu nchini Burundi ajulikana kwa jina la Salma Hassan, ni binti mrembo kwa muonekano na anazidi kukubalika sana kwenye kazi za Filamu nchini Burundi, hapo ni baada ya kuwa mshiriki kwenye Filamu ambayo…
Welcome, Login to your account.
Welcome, Create your new account
A password will be e-mailed to you.