Msanii Frederick Habona Michael ambae ni muigizaji nchini Tanzania na ameweza kutengeneza Filamu inayoitwa CAPTAIN HABONA alioachia mwaka jana na imetambulishwa na Comapny ya marehemu Steven Charles Kanumba iitwayo KANUMBA…
Msanii wa filamu nchini Burundi Djuma Mababi afaamikae kwa jina la Jay, baada ya yeye kufanya Filamu ya FIKRA iliyo zinduliwa mwaka huu mwezi wa Aprili chini ya Company ya Filamu TGF inayofanyia kazi Kamenge, kijana huo Jay…
Kijana Douglas Karama mwenye makaazi yake nchini Congo ametokelezea na ujio kwa kazi mpya ambao anasema kwamba itatokea kusambaa kimataifa pia amesema katika ukurasa wake wa Facebook : "Mimi sipendi kuwa mtu wakuongea…
Kijana aitwae Mucowintore Saidi maarufu kama Mathématique kupitia jina analotumia kwenye kazi yake ya Comedy leo ameeleza kuhusu alivyo anza kazi yake ya Filamu pia na comedy "Majina kamili naitwa Mucowintore Saidi ila…
Komediani Annastazia Exavery ‘Ebitoke’ utacheka, maana mwenyewe ameapa kumzalia mpenzi wake ambaye ni mwigizaji wa kiume wa Bongo Movies, Yusuf Mlela. Ebitoke amelisema kuwa, anawashangaa wanaomponda kwamba haendani na Mlela…
Kijana NIZIGAMA NIPO muigizaji wa filamu nchini Burundi ambae kwa sasa amejichukulia nafasi kubwa ya ustar nchini Burundi kupitia filamu iitwayo RUREBEYA na KURUBONE, hadi kwa sasa mwenye anashuudia umaarufu huyo uku akipita…
Kijana Ndayishimiye Lucien muigizaji wa filamu nchini Burundi toka mwaka 2013 ila kwa sasa yupo nchini South Africa, alianza filamu mwaka 2013 pia alikuwa na ndoto ya kuja kuwa Director mkubwa na alianza katika Company ya…
Vijana wengi wanaojishuulisha na sanaa ya uhigizaji nchini Burundi wanazidi kutowa malalamiko yao kuhusu kukosa msaada wowote kwa wadhamini wa Filamu ili kuweza kuendelesha kazi mbele. Indundi.com imeweza kukaa na wasanii…
Muigizaji wa filamu za lugha ya taifa KIRUNDI Bekiss kwa sasa anaonekana mwenye kujituma na kuwa na maendeleo ya kipekee kwenye tasnia ya filamu nchini Burundi. Baada yakutowa movie nyingi zenye mafunzo na maendeleo basi…
Katika maojiano yake na indundi mchekeshaji mkubwa nchini Burundi Famba Samba ameamuwa kujiweka wazi ili uweze kumfaamu veme. Famba Samba ameamuwa kuweka wazi maisha yake ya sanaa hadi apa alipo. "Naitwa Kwizera Issa…
Welcome, Login to your account.
Welcome, Create your new account
A password will be e-mailed to you.